Yeremia 31:18 Biblia Habari Njema (BHN)

“Nimesikia Efraimu akilalamika:‘Umenichapa ukanifunza nidhamu,kwani nilikuwa kama ndama asiyezoea nira.Unigeuze nami nitakugeukia,kwani wewe ndiwe Mwenyezi-Mungu, Mungu wangu.

Yeremia 31

Yeremia 31:16-28