Yeremia 30:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Maana siku zaja ambapo nitawarudishia fanaka zao watu wangu wa Israeli na Yuda na kuwarudisha katika nchi niliyowapa wazee wao, nao wataimiliki. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.”

Yeremia 30

Yeremia 30:1-11