Yeremia 30:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Kiongozi wao atakuwa mmoja wao,mtawala wao atatokea miongoni mwao.Nitamleta karibu naye atanikaribia;maana, nani anayethubutu kunikaribia kwa nguvu zake?Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.

Yeremia 30

Yeremia 30:13-24