Yeremia 3:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakati huo, mji wa Yerusalemu utaitwa ‘Kiti cha Enzi cha Mwenyezi-Mungu’, na mataifa yote yatakusanyika humo mbele yangu. Hawatafuata tena ukaidi wa matendo yao.

Yeremia 3

Yeremia 3:8-19