Yeremia 29:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Barua hii ilipelekwa na Elasa mwana wa Shafani, na Gemaria mwana wa Hilkia, ambao Sedekia, mfalme wa Yuda, aliwatuma kwa Nebukadneza mfalme wa Babuloni. Yeremia aliandika hivi:

Yeremia 29

Yeremia 29:1-5