Yeremia 29:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Ifuatayo ni barua ambayo nabii Yeremia aliwapelekea kutoka Yerusalemu wazee na makuhani, manabii na watu ambao Nebukadneza alikuwa amewachukua kutoka Yerusalemu akawapeleka uhamishoni Babuloni.

Yeremia 29

Yeremia 29:1-4