Yeremia 28:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa hiyo Mwenyezi-Mungu asema kwamba atakuondoa duniani. Mwaka huuhuu utakufa, kwa sababu umewaambia watu wamwasi Mwenyezi-Mungu.”

Yeremia 28

Yeremia 28:8-17