Yeremia 26:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi Yeremia alipomaliza kutangaza mambo yote ambayo Mwenyezi-Mungu alimwamuru ayatangaze kwa watu wote, makuhani, manabii na watu wote walimkamata na kusema, “Utakufa!

Yeremia 26

Yeremia 26:5-15