Yeremia 24:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Nitawafanya kuwa kitu cha kuchukiza mbele ya falme zote duniani. Watakuwa kitu cha dhihaka, kitu cha kuzomewa, kuchekwa na kulaaniwa kila mahali nitakapowafukuzia.

Yeremia 24

Yeremia 24:1-10