Yeremia 23:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Nitawapa wachungaji watakaowatunza vema, nao hawatakuwa na woga tena wala kufadhaika, na hakuna hata mmoja wao atakayepotea, mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.

Yeremia 23

Yeremia 23:1-13