Yeremia 22:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini kama hamtatii maneno haya, mimi Mwenyezi-Mungu naapa kwa nafsi yangu kwamba mahali hapa patakuwa magofu. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.”

Yeremia 22

Yeremia 22:1-7