Yeremia 21:8 Biblia Habari Njema (BHN)

“Nawe Yeremia utawaambia watu hawa kwamba mimi Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Sikilizeni! Mimi nawapeni nafasi ya kuchagua njia ya uhai au njia ya kifo.

Yeremia 21

Yeremia 21:1-12