Yeremia 20:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Kesho yake asubuhi, Pashuri alipomtoa Yeremia katika mkatale huo, Yeremia alimwambia hivi: “Mwenyezi-Mungu hakuiti tena Pashuri, bali ‘Kitisho Pande Zote’.

Yeremia 20

Yeremia 20:1-12