1. Neno la Mwenyezi-Mungu likanijia:
2. “Nenda ukawatangazie waziwazi wakazi wote wa Yerusalemu kuwa mimi Mwenyezi-Mungu nasema hivi:Naukumbuka uaminifu wako ulipokuwa kijana,jinsi ulivyonipenda kama mchumba wako,ulivyonifuata jangwanikwenye nchi ambayo haikupandwa kitu.