Yeremia 2:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Neno la Mwenyezi-Mungu likanijia:

2. “Nenda ukawatangazie waziwazi wakazi wote wa Yerusalemu kuwa mimi Mwenyezi-Mungu nasema hivi:Naukumbuka uaminifu wako ulipokuwa kijana,jinsi ulivyonipenda kama mchumba wako,ulivyonifuata jangwanikwenye nchi ambayo haikupandwa kitu.

Yeremia 2