Yeremia 19:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Nitaufanya mji huu kuwa mahali pa kushangaza; naam, nitaufanya uwe kitu cha kuzomewa. Kila mtu anayepita karibu nao atashangaa na kuuzomea kwa sababu ya maafa yote yatakayoupata.

Yeremia 19

Yeremia 19:3-15