Yeremia 19:5 Biblia Habari Njema (BHN)

wakamjengea mungu Baali madhabahu, ili kuwachoma wana wao kama sadaka ya kuteketezwa. Mimi sijapata kuamuru wala kuagiza jambo kama hilo lifanywe, wala hata sijapata kulifikiria.

Yeremia 19

Yeremia 19:2-10