Yeremia 19:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Baada ya hayo, Yeremia aliondoka Tofethi, mahali ambako Mwenyezi-Mungu alimtuma aende kutoa unabii, akaenda na kusimama katika ukumbi wa nyumba ya Mwenyezi-Mungu, akawatangazia watu wote akisema:

Yeremia 19

Yeremia 19:4-15