Yeremia 16:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Wote, wakubwa kwa wadogo, watakufa katika nchi hii; nao hawatazikwa, wala hakuna atakayewaombolezea. Hakuna atakayejikatakata au kunyoa upara wa matanga.

Yeremia 16

Yeremia 16:1-14