Yeremia 16:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Nitalipiza kisasi maradufu juu ya dhambi zao na makosa yao kwa sababu wameitia unajisi nchi yangu kwa mizoga ya miungu yao ya kuchukiza, wakaijaza hii nchi yangu machukizo yao.”

Yeremia 16

Yeremia 16:11-21