Yeremia 16:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Nawe utawajibu kuwa mimi Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Wazee wenu waliniacha, wakaifuata miungu mingine, wakaitumikia na kuiabudu. Waliniacha, wala hawakuzitii sheria zangu.

Yeremia 16

Yeremia 16:3-20