Yeremia 15:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Mimi Mwenyezi-Mungu nimeamua kuwaletea aina nne za maangamizi: Vita itakayowaua, mbwa watakaowararua; ndege wa angani watakaowadonoa na wanyama wa porini watakaowatafuna na kuwamaliza.

Yeremia 15

Yeremia 15:1-12