Yeremia 15:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu asema: “Nitaifanya mali yenu na hazina zenu zichukuliwe nyara tena bila kulipwa fidia yoyote kwa sababu ya dhambi zenu zote mlizotenda kila mahali nchini.

Yeremia 15

Yeremia 15:5-16