Yeremia 15:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Ole wangu, mama yangu, kwamba ulinizaa! Mimi nimekuwa mtu wa ubishi na ugomvi nchini pote! Sijapata kukopesha mtu wala kukopeshwa na mtu, lakini kila mtu ananiapiza.

Yeremia 15

Yeremia 15:2-11