Yeremia 14:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Hata wakifunga, sitayasikiliza maombi yao, na hata wakinitolea sadaka za kuteketeza na za nafaka, mimi sitazikubali. Bali nitawaangamiza kwa upanga, njaa na tauni.”

Yeremia 14

Yeremia 14:8-16