Yeremia 13:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Ikawa, baada ya siku nyingi, Mwenyezi-Mungu akaniambia, “Nenda kwenye mto Eufrate, ukakichukue kile kikoi nilichokuamuru ukifiche huko.”

Yeremia 13

Yeremia 13:1-9