Yeremia 12:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Walipanda ngano, lakini walivuna magugu;walifanya bidii, lakini hawakupata kitu.Kwa sababu ya hasira yangu kali,mavuno watakayoyapata yatakuwa aibu tupu.”

Yeremia 12

Yeremia 12:5-14