Yeremia 11:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu akaniambia: “Tangaza masharti hayo yote katika miji ya Yuda na katika barabara za Yerusalemu. Waambie watu wayasikilize masharti ya agano hili na wayatekeleze.

Yeremia 11

Yeremia 11:1-9