Yeremia 11:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakati fulani, mimi nilisema, wao ni mzeituni wenye majani mabichi, mzeituni mzuri na wenye matunda mema; lakini sasa, kwa ngurumo ya dhoruba kubwa, nitauchoma moto na kuyateketeza matawi yake.

Yeremia 11

Yeremia 11:10-17