Yeremia 11:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Hapo ndipo watu wa Israeli na Yerusalemu watakapoiendea miungu yao ambayo wanaifukizia ubani. Lakini miungu hiyo haitaweza kuwaokoa wakati huo wa taabu zao.

Yeremia 11

Yeremia 11:8-16