Yeremia 11:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Wameurudia uovu wa wazee wao ambao walikataa kusikiliza maneno yangu; wameiabudu miungu mingine na kuitumikia. Watu wa Israeli na watu wa Yuda wamevunja agano nililofanya na wazee wao.

Yeremia 11

Yeremia 11:9-20