Yeremia 10:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Nami Yeremia nikasema:Wachungaji wamekuwa wajinga,hawakuomba shauri kwa Mwenyezi-Mungu;kwa sababu hiyo, hawakufanikiwa,na kondoo wao wote wametawanyika.

Yeremia 10

Yeremia 10:13-24