Yeremia 1:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Neno la Mwenyezi-Mungu likanijia mara ya pili: “Unaona nini?” Nami nikasema, “Ninaona chungu kinatokota kimeinama upande wangu kutoka kaskazini.”

Yeremia 1

Yeremia 1:9-15