Yakobo 4:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Ndugu, msilaumiane nyinyi kwa nyinyi. Anayemlaumu ndugu yake na kumhukumu, huyo huilaumu na kuihukumu sheria. Kama ukiihukumu sheria, basi, wewe huitii sheria, bali waihukumu.

Yakobo 4

Yakobo 4:3-16