Yakobo 2:23 Biblia Habari Njema (BHN)

Hivyo yakatimia yale Maandiko Matakatifu yasemayo: “Abrahamu alimwamini Mungu, na kwa imani yake akakubaliwa kuwa mtu mwadilifu; na hivyo Abrahamu akaitwa rafiki ya Mungu.”

Yakobo 2

Yakobo 2:14-25