15. “Tukamatieni mbweha,wale mbweha wadogowadogo,wanaoiharibu mizabibu yetu inayochanua.”
16. Mpenzi wangu ni wangu, nami ni wake.Yeye hulisha kondoo wake penye yungiyungi,
17. hadi hapo jua linapochomozana vivuli kutoweka.Rudi kama paa mpenzi wangu,kama swala mdogo juu ya milima ya Betheri.