Waroma 4:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Vilevile yeye ni baba wa wale waliotahiriwa; lakini si kwa kuwa wametahiriwa, bali kwa sababu wanafuata njia ileile ya imani baba yetu Abrahamu aliyofuata kabla ya kutahiriwa.

Waroma 4

Waroma 4:9-13