Waroma 2:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Hivyo, kufuatana na hii Habari Njema ninayohubiri, ndivyo itakavyokuwa wakati Mungu atakapohukumu mambo ya siri ya binadamu kwa njia ya Yesu Kristo.

Waroma 2

Waroma 2:13-22