Waroma 15:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Maana, yote yaliyoandikwa yameandikwa kwa ajili ya kutufundisha sisi ili kutokana na saburi na faraja tupewayo na hayo Maandiko Matakatifu tupate kuwa na matumaini.

Waroma 15

Waroma 15:2-8