Waroma 15:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Sithubutu kusema kitu kingine chochote isipokuwa tu kile ambacho Kristo Yesu amekifanya kwa kunitumia mimi ili watu wa mataifa wapate kutii. Amefanya hivyo kwa maneno na vitendo,

Waroma 15

Waroma 15:12-20