Waroma 14:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Mtu anaweza kufikiria siku fulani kuwa ya maana zaidi kuliko nyingine; mtu mwingine aweza kuzifikiria siku zote kuwa sawa. Kila mmoja na afuate msimamo wa akili yake.

Waroma 14

Waroma 14:1-13