Waroma 14:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, usiiharibu kazi ya Mungu kwa sababu ya ubishi juu ya chakula. Vyakula vyote ni halali, lakini haifai kula chakula ambacho kitamfanya mtu aanguke katika dhambi.

Waroma 14

Waroma 14:18-23