Waroma 11:34-36 Biblia Habari Njema (BHN)

34. “Nani aliyepata kuyajua mawazo ya Bwana?Nani awezaye kuwa mshauri wake?

35. Au, nani aliyempa yeye kitu kwanzahata aweze kulipwa tena kitu hicho?”

36. Kwa maana vitu vyote vyatoka kwake, vyote vipo kwa uwezo wake na kwa ajili yake. Utukufu na uwe kwake hata milele! Amina.

Waroma 11