Walawi 8:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha akamvika Aroni joho na kuifunga kwa mkanda, akamvika kanzu, akamvalisha kizibao na kukifunga kiunoni mwake kwa mkanda uliofumwa kwa ustadi.

Walawi 8

Walawi 8:1-17