Walawi 7:26-29 Biblia Habari Njema (BHN)

26. Tena, kamwe msile damu yoyote ile, iwe ya ndege au ya mnyama mahali popote mnapoishi.

27. Mtu yeyote akila damu yoyote, atatengwa na watu wake.”

28. Mwenyezi-Mungu alimwambia Mose,

29. “Waambie watu wa Israeli hivi: Mtu yeyote akitoa sadaka ya amani, atampa Mwenyezi-Mungu sehemu ya sadaka hiyo.

Walawi 7