Walawi 7:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Kutokana na maandazi hayo, atamtolea Mwenyezi-Mungu andazi moja kutoka kila sadaka; maandazi hayo yatakuwa yake kuhani anayeirashia madhabahu damu ya sadaka za amani.

Walawi 7

Walawi 7:13-16