Walawi 6:14 Biblia Habari Njema (BHN)

“Ufuatao ni mwongozo wa ibada kuhusu sadaka ya nafaka. Wazawa wa Aroni ndio walio na uwezo wa kumtolea Mwenyezi-Mungu sadaka hiyo juu ya madhabahu.

Walawi 6

Walawi 6:13-23