Walawi 5:1 Biblia Habari Njema (BHN)

“Kama mtu yeyote akitakiwa kutoa ushahidi kwenye baraza juu ya jambo aliloona au kulisikia naye akakataa kusema kitu, basi, huo ni uovu na atauwajibikia.

Walawi 5

Walawi 5:1-4