Walawi 4:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha atamchukua fahali huyu na kumpeleka nje ya kambi na kumteketeza kwa moto kama alivyomfanya yule mwingine. Hiyo ni sadaka ya kuondoa dhambi ya jumuiya.

Walawi 4

Walawi 4:17-28