Walawi 3:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Kuhani ataviteketeza juu ya madhabahu kama chakula kinachotolewa kwa Mwenyezi-Mungu kwa moto kutoa harufu ya kumpendeza Mungu. Mafuta yote ni ya Mwenyezi-Mungu.

Walawi 3

Walawi 3:12-17