Walawi 25:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa kuwa mwaka huo, ni wa sikukuu ya ukumbusho wa miaka hamsini, msipande mbegu au kuvuna chochote kiotacho chenyewe wala kuchuma zabibu kutoka miti msiyoipogoa.

Walawi 25

Walawi 25:2-15